Sign in to follow this  
Paragon

Mashairi - Kiswahili ni kitamu - TZdi Poetry

Recommended Posts

Macalin   

awww,,thats soo moviing yo.

is that the life ya chokora?

ingawa nime sahau some words,nime fahamu ma'ana ya shairri.

wallahi ina move kweli.

heko dadangu

umeni fanya ni ongea na mathee leo.lol

 

Lul.iii don get the spreading the romour thingi..come again sis?

Share this post


Link to post
Share on other sites

Binadamu na Kompyuta

 

Kwa siri yake mtungi, aijuaye ni kata,

Na nyumba bila msingi, utapasuka ukuta,

Kila palipo na wengi, na mambo ya yatambata,

Kugunduliwa kompyuta, binadamu hana kazi.

 

Binadamu hana kazi, kugunduliwa kumpyuta,

Si fumbihili ni wazi, wala si ndoto kuota,

Kugunduliwa kompyuta, binadamu hana kazi.

 

Vidato utapitia na cheti utakipata,

Kwa madhumuni na nia, ajira kutafuta,

Patupu taambulia, au kama siyo kusota,

Kugunduliwa kompyuta, binadamu hana kazi.

 

Daima unapotwanga, ni lazima kupepeta,

Kutenga chuya na chenga, ungo utaukamata,

Hapa ukishaboronga, mchele hataupata,

Kugunduliwa kompyuta, binadamu hana kazi.

 

Kuadimika ajira, kwa wasomi ni ukata,

Makubwa yake madhara, binadamu kumkuta,

 

Ni faida na hasara, kompyuta imeshaleta,

Kugunduliwa kompyuta, binadamu hana kazi.

 

Sematini, N. Sematin (Sauti ya Bembea),

Share this post


Link to post
Share on other sites

Swahili Poem

 

Kazi ni wajibu wetu

Nashika yangu kalamu, maoni nipate toa

Huku nimetaka damu, mada kwa Wasomali

Wale wote wahitimu, elimu zote dunia

Kazi ni wajibu wetu, watu wote sikieni.

 

Kuna waodiriki, kusema kazi ni wito

Mwalimu mshika chaki, pamoja nao mfuto

Anasema kwa hakiki, pia kwenda kwa minato

Kazi ni wajibu wetu, watu wote sikieni.

 

Hakika ninatambua, wito ni kwa kuitika

Wito si kazi najua, ninasema kwa hakika

Daktari atanambia, eti wito kaitika

Kazi ni wajibu wetu, watu wote sikieni.

 

Hata naye bwana shamba, atadaia na wito

Pande zote anatamba, kumbe anacho kipato

Namuona fundi bomba, anasema ana wito

Kazi ni wajibu wetu, watu wote sikieni.

 

Ikiwa kazi ni wito, ya nini kurandaranda

Londoni, New York, hadi Eastleigh,

binadamu unakwenda wapi

Ni nani amekuita, ikiwa kazi ni wito.

 

Huko kote ndugu huna, kama unaye bandia

Ni shida imekubana, kisa umekimbilia

Riziki kitu mwanana, umekwenda tafutia

Kazi ni wajibu wetu, watu wote sikieni.

 

Wito kweli siyo kazi, ni kujitoa mhanga

Kazi kipato azizi, sikilizeni malenga

Wa Seatle hadi TO, Ottawa na Ohio

Kazi wajibu wetu, watu wote sikieni.

 

Watawa na makasisi na mabruda kadhalika

Wasema bila utani, wito wanao hakika

Fani zao ni unesi, na ualimu hakika

Pia wanavyo vipato, kwa Rabi wameitika.

 

Sisi sote tuna kazi, wito kwetu ni kidogo

Hakuna cha kijakazi, mbeba bure mizigo

Sote ni wafanya kazi, hata kubeba magogo

Kazi ni wajibu wetu, watu wote sikieni

Share this post


Link to post
Share on other sites
Paragon   

Originally posted by STHLM_Lady:

MAMANGU ULINITUPA

Ulinitupa kwa pipa,nife niwe takataka.

Ukakimbia kwa pupa,kisiri ukaondoka.

Ikawa umenihepa,pasi hofu na mashaka.

Mamangu ulinitupa nimwite nani mamangu?

 

Umrefu umfupi,nashindwa kuyatamka.

Wala sijui U wapi,mwanao nahangaika.

Mie nikupate vipi,inijibu kwa hakika.

Mamangu ulinitupa,nimwite nani mamangu?

 

Katika kazi zangu fikira,sijui nilikotoka.

Naelezwa na hadhara,mimi ni mkosa tabaka.

Kwa jina mimi chokora,jijini na zunguka.

Mamangu ulinitupa,nimwite nani mamangu?

 

Nilijikuta jijini,kila pembe nazunguka.

Mchana niko mbioni,barabarani naruka.

kubwa napigiwa haoni,magari nikiepuka.

Mamangu ulinitupa,nimwite nani mamangu?

 

Vile ulivyoyawaza,uniache kwenye nyika.

Heri ungenimaliza,kabisa na kunizika.

Heri ningalioza nisikupe heka heka.

Mamangu ulinitupa,nimwite nani mamangu?

 

Naambiwa hujafariki,Ungaliko wazunguka.

Kusini na mashariki,huchagui japo rika.

Ela siku ya harikiki,mwanao nimeshachoka.

Mamangu ulinitupa,nimwite nani mamangu?

 

Kutwa ninavuta gamu,ndipo nilewe haraka.

Si kwamba ninayo hamu,nakuomba hivi shika.

Majina kama wazimu,naitwa hata kizuka.

Mamangu ulinitupa,nimwite nani mamangu?

WoW --- Naskiya mbaya sasa hivi STHLM_LADY. Hii shairi ilinichafua roho kabisa. Asante sana siste.

 

Hiki na shairi mmoja ... nili-iandika sasa hivi, hapo papo...

 

Hatujui maishi ni mifupi

Hatujui masaa mangapi tutaishi

Sina la kusema kuhusu maishani

Nina omba Mwezi Mungu atupakishe

Kotoka shida na fitna ya duniani

Share this post


Link to post
Share on other sites
raula   

there is this song ...the chorus goes like this...

 

wewe ndugu sikilezeni niwaabieee..

wakati nilipo oa,

mke mmoja mrembo

naa akaleta hasara

kuvunjavunja vikombe, kuvunjavunja visahani..

 

and the beat goes on.........

 

Ndugu wangu wote walikataaa...

walisema,

Afunge aende kwao(*2)

.........

 

wakati ujao...i will recite ...some poetry ....

Share this post


Link to post
Share on other sites

Well here is a nursery rimme i rember from back in the day Nairiobi town.

 

Dosh Kidogoyo

ame hara kuwa mekebe #

ame seme ni wageni

wagnei wa ma sema

ni dosh kidogoyo lol

Share this post


Link to post
Share on other sites

jamaal...kiswahili yako sanifu...kweli ulikuwa unaishi mombasa ama?lol..unlike mine...lol

yangu ni hivi.....fadeee..chota do leo..naishia town.. :D lol

i like this one.....bestee..mdomo yako inatupa jo...ama...matako juu juu ka break ya honda :D

ume paraara ka socks ya mkamba..walaaahi those were the days.

 

raula sis...that was a great song....

there is also this song i heard and changed a little...here it goes

na toka ndani ya nyumba niki merameta ka nyota,unewaza kuwa kipofu.

kutoka ju mpaka chini nimeva versace,marashi ya gucci kwahivyo visuri nanukia..AH

gari ni 504, fungua dirisha jo, kuna jotonto.

then i dont know the rest...

 

shujui looooooooooool..

una kumbuka hii, askari kanga kanga

askari kanga kanga..

Tumbo mbele ...matako nyuma...piga saluti...looooooool

Share this post


Link to post
Share on other sites

lol very good am impressed.

 

Hey do u rember how in kenya ppl would say (when someone requsted that u return to them somethin the gave u, money, clothing, goat smile.gif )

 

"Ndugu hakuna Haraka. Nta ku rudishia saileh Issa ame ruudi " lol that use to kill me.

Share this post


Link to post
Share on other sites
Paragon   

i like this one.....bestee..mdomo yako inatupa jo...ama...matako juu juu ka break ya honda

ume paraara ka socks ya mkamba..walaaahi those were the days.

LoooooooooooooooooL STHLM_Lady lol hehehehe 'Ume paraara kaa socksi ya mkamba' lol

 

LoL I use to like this one ... "We, Kichwa yako inakaa kaa rungi ya masaai" lol Kenyans are dead funny you know that. One time we were in a movie and the actor was actually tip-toeing to kill an enemy :Aduwi: and so these kamba fella was sitting the raw infront of us just turn back and told us to shut up! "We Wariya Nyamaaza...usipige kelele aw ma-aduwi wata sikia actor"

 

He sais ..shut up waryaa...if you make noises then the actor will be heard by the enemies ...so shut up.... I started laughing and went on laughing for 2 whole days...

Share this post


Link to post
Share on other sites

Join the conversation

You can post now and register later. If you have an account, sign in now to post with your account.

Guest
Reply to this topic...

×   Pasted as rich text.   Restore formatting

  Only 75 emoji are allowed.

×   Your link has been automatically embedded.   Display as a link instead

×   Your previous content has been restored.   Clear editor

×   You cannot paste images directly. Upload or insert images from URL.

Sign in to follow this